• Habari
    • Türkiye
    • Afrika
    • Ulimwengu
  • Biashara
  • Michezo
  • Maoni
  • Maisha
  • Video
  • Uchambuzi
Swahili
  • English
  • Français
  • Hausa
Hakimiliki © TRT Afrika 2023
Shirika
  • Kuhusu TRT Afrika
  • Wasiliana Nasi
Majukumu ya Kisheria
  • Sera ya Faragha
  • Sera ya Vidakuzi
  • Kanuni na Masharti
TAZAMA

Matukio Muhimu ya 2023 📌

Makala Maalumu: Afrika ilivyopaza sauti mabadiliko ya tabia nchi 2023

Makala Maalumu: Afrika ilivyopaza sauti mabadiliko ya tabia nchi 2023

Soma Zaidi

Siasa

Waziri wa Kenya aikosoa vikali Rwanda, lakini ukweli uko wapi?

Waziri wa Kenya aikosoa vikali Rwanda, lakini ukweli uko wapi?

Waziri wa Uchukuzi wa Kenya Kipchumba Murkomen hivi karibuni aliikosoa vikali Rwanda kwamba “inatawaliwa na mtu mmoja” na ni nchi “ndogo,” kauli iliyoibua hisia tofauti.


Uchaguzi DRC 2023: DRC na Kenya yaingia kwenye msuguano wa kidiplomasia

Uchaguzi DRC 2023: DRC na Kenya yaingia kwenye msuguano wa kidiplomasia


Kundi la Wagner ni nini?

Kundi la Wagner ni nini?


Uchaguzi DRC 2023: CENI kuanza kutoa matokea ya awali

Tume ya Uchaguzi ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, CENI, iliongeza muda wa kupiga kura katika baadhi ya maeneo hadi jana Alhamisi.


Makala maalumu: Afrika ilivyopaza sauti mabadiliko ya tabia nchi 2023

Viongozi wa nchi za Afrika walikutana nchini Kenya mwezi Septemba 2023, katika Mkutano wa Afrika wa Mabadiliko ya Tabia nchi ambao ulikuwa wa kwanza wa aina yake kwa ajili ya kupaza sauti ya bara.


Muktadha wa hali ya DRC huku ikielekea uchaguzi

Huku wagombea 26 wa urais wakiwa wamesajiliwa na Tume Huru ya Kitaifa ya Uchaguzi (CENI), Uchaguzi Mkuu unaendelea kutawaliwa na hila na hesabu za vyama vikuu vya kisiasa na miungano inayosukuma pembezoni mwafaka wa msingi wa raia kote nchini.

Migogoro ya Usalama

Majenerali wanaopigana Sudan kukutana

Majenerali wanaopigana Sudan kukutana

Kufikia sasa, zaidi ya watu 12,190 wamefariki kutokana na vita kati ya jeshi la Sudan na kikosi cha RSF.


Nchi za Kiafrika zapambana kuwatoa rais wake Sudan

Nchi za Kiafrika zapambana kuwatoa rais wake Sudan

Nigeria na Ghana zimetangaza mipango yake ya kuwahamisha raia wao kutoka Sudan kupitia nchi jirani.

Wanajeshi wa mwisho wa Kenya chini ya kikosi cha (EACRF) nchini DR Kongo wawasili Nairobi

Wanajeshi wa mwisho wa Kenya chini ya kikosi cha (EACRF) nchini DR Kongo wawasili Nairobi

Kikosi cha mwisho cha wanajeshi wa KDF waliotumwa chini ya kikosi cha kikanda cha Jumuiya ya Afrika Mashariki (EACRF) Mashariki mwa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo kimewasili Nairobi.


Sudan: Shirika la WFP lasitisha msaada wake kwa muda katika baadhi ya maeneo

Sudan: Shirika la WFP lasitisha msaada wake kwa muda katika baadhi ya maeneo

Wanajeshi wa Kenya, kikosi cha EACRF, waondoka DRC wakisifia mchango wao

Wanajeshi wa Kenya, kikosi cha EACRF, waondoka DRC wakisifia mchango wao

Polisi DRC yatumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji

Polisi DRC yatumia mabomu ya machozi kuwatawanya waandamanaji

Majanga

Makala Maalumu: Majaribu na dhiki za migogoro katika bara Afrika

Makala Maalumu: Majaribu na dhiki za migogoro katika bara Afrika

Tanzania: Rais Samia akatiza ziara ya nje kufuatia maporomoko nchini mwake

Tanzania: Rais Samia akatiza ziara ya nje kufuatia maporomoko nchini mwake

Serikali ya Tanzania imesema itagharamia gharama za mazishi huku idadi ya majeruhi ikipita watu 80 kufuatia mafuriko ya Katesh wilayani Hanang, mkoani Manyara.

Makala Maalum: Kwa heri 2023, kwa heri Shakahola

Makala Maalum: Kwa heri 2023, kwa heri Shakahola

Mwaka 2023 utakumbukwa kwa mingi, lakini kubwa ni mauaji ya kutisha yaliyotokea pwani ya Kenya katika msitu wa Shakahola ambapo mamia ya waumini wa dhehebu la Good News International Ministry walipoteza maisha baada ya kukaa muda mrefu bila chakula.

Video

Kundi la Wagner ni nini?

Masaibu Ya Wachuuzi Nairobi

Simba wanapendwa sana Uturuki

Onyesha Zote

Michezo

Faith Kipyegon atajwa bingwa wa dunia wa mbio za uwanjani

Faith Kipyegon atajwa bingwa wa dunia wa mbio za uwanjani

Ni kina nani wanawania wanasoka bora wa kiume duniani FIFA 2023?

Ni kina nani wanawania wanasoka bora wa kiume duniani FIFA 2023?

Côte d'Ivoire yasema iko tayari kuandaa Afcon maridadi 2024

Côte d'Ivoire yasema iko tayari kuandaa Afcon maridadi 2024

Simba wanapendwa sana Uturuki

Simba wanapendwa sana Uturuki

Ndoto yangu 2024 ni kutetea taji la Olimpiki mjini Paris – Eliud Kipchoge

Ndoto yangu 2024 ni kutetea taji la Olimpiki mjini Paris – Eliud Kipchoge

Onyesha Zote

Burudani

Big Row: Rapa mwenye maneno ya kitamaduni ya Kiafrika

Big Row: Rapa mwenye maneno ya kitamaduni ya Kiafrika

Jinsi msanii wa kike wa midundo ya ‘Hip Hop’ alivyopata umaarufu Afrika ya Kati bila ya mtandao

Jinsi msanii wa kike wa midundo ya ‘Hip Hop’ alivyopata umaarufu Afrika ya Kati bila ya mtandao

Fotocopy: Nyota mdogo zaidi wa muziki nchini Ghana mwenye tuzo 25

Fotocopy: Nyota mdogo zaidi wa muziki nchini Ghana mwenye tuzo 25

Maajabu ya ngoma ya Chunda kuchezwa bila ngoma

Maajabu ya ngoma ya Chunda kuchezwa bila ngoma

Onyesha Zote